
Ukuaji na mabadiliko ya Teknolojia imechangia kwa kiasi kikubwa uhitaji wa ushauri wa kitaalamu kwenye sekta ya TEHAMA kama vile Ununuzi wa Vifaa vya TEHAMA na ushauri juu ya Utengenezaji wa Mifumo
Ongezeko la matumizi ya mifumo katika Utimishi wa Umma imepeleka kuwepo kwa usimamizi wa karibu wa mifumo hiyo kwa ajili ya kutathmini ubora wake.
Wakala wa Serikali Mtandao imeandaa miongozo inayosimamia utekelezaji wa baadhi ya operesheni za TEHAMA na kuiweka bayana kwa lengo la kusaidia taasisi za umma na wadau wengine kutoa huduma za serikali mtandao zinazoaminika na kwa urahisi.
Mkurugenzi MKuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao Zanzibar (eGAZ) Ndg,
© 2025 - eGAZ. Haki zote zimehifadhiwa
Imetayarishwa na Kusanifiwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao Zanzibar