Ofisi ya Raisi- Ikulu

MAMLAKA YA SEREKALI MTANDAO ZANZIBAR

Muundo wa Mamlaka

Mamlaka ya Serikali Mtandao ni taasisi ya Umma iliyoanzishwa kwa sheria nambari 12 ya mwaka 2019 yenye jukumu la kuratibu, kusimamia na kukuza jitihada za Serikali Mtandao pamoja na kuhimiza utekelezaji wa Sera, Sheria, Kanuni, Viwango na Miongozo ya Serikali Mtandao kwa taasisi za umma

Mamlaka ya Serikali Mtandao una muundo ufuatao,

  • Bodi ya ushauri ya Mamlaka ya Serikali Mtandao,
  • Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka
  • Idara, Divisheni na Vitengo