Who we are?

Mamlaka ya Serikali Mtandao ni taasisi ya Umma iliyoanzishwa kupitia sheria nambari 12 ya mwaka 2019 yenye jukumu la kuratibu, kusimamia na kukuza jitihada za Serikali Mtandao pamoja na kuhimiza utekelezaji wa Sera, Sheria, Kanuni, Viwango na Miongozo ya Serikali Mtandao kwa taasisi za umma.

 Vision

Be a center of expertise and innovation that facilitates access to ICT services in government

Mission

  • To provide quality public services and promote good governance through secure and reliable Information and Communication Technology.

 Objectives

  • To coordinate automation of e-Government administration processes and the provision of Government services through the utilisation of ICT
  • kuhakikisha mifumo ya habari na mawasiliano inawekwa, inaimarishwa na inaendelezwa  kwa mujibu wa sera na viwango itakayopelekea kuwa na upashanaji habari mzuri, wenye gharama nafuu utakaorahisisha shughuli za Serikali;
  • To ensure accessibility of the government services countrywide in an affordable, effective and efficient manner through the appropriate use of ICT
  • To promote the use of ICT in the public services; and
  • To be a center of expertise in the preparation and promotion of policies, standards and other practices to improve ICT usage in Zanzibar public service.